Watoto wakijipanga kupiga picha ya pamoja na Baba Askofu Eusebius Nzigilwa baada ya Ibada ya Kipaimara katika kanisa la Kristo Mfalme Tabata siku ya Jumapili Tarehe 24/05/2015
Baba Askofu akielekea kuzindua jengo la ofisi za mapadre katika kanisa hilo la Kristo Mfalme
Picha juu na chini Watoto wakiwa wamejipanga karibu na eneo zilipo ofisi mpya za Mapadre ambazo Baba Askofu Nzigilwa alizizindua hapo jana





No comments:
Post a Comment